Simba Sports Club
SimbaQueens

Simba Queens yaendelea kujifua

2 Nov 2021

Kikosi hicho kimefanya mazoezi chini ya Kocha mzoefu, Sebastian Nkoma ambaye tumemtangaza jana baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja.

Simba Queens inajifua vikali lengo likiwa ni kuhakikisha tunatetea ubingwa wetu ambao itakuwa mara ya tatu mfululizo.

Advertisement
Back to homepage
Share this story