read
news & Articles

Mbosso apagawisha Simba Day kwa Mkapa
Msanii wa Bongo Fleva, Mbosso amewapagawisha maelfu ya mashabiki wetu waliojitokeza kwa wingi katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kwenye kilele cha Tamasha la Simba Day.

Mh. Aweso: Simba Day hii haijawahi kutokea
Mgeni Rasmi, Waziri wa Maji, Mh. Jumaa Aweso ameusifu Uongozi wa klabu kwa kuandaa Tamasha bora la Simba Day ambalo haijawahi kutokea kabla. Mh. Aweso

Tumewafunga Gor Mahia kilele cha Simba Day
Mchezo wetu wa kirafiki wa Kimataifa katika kilele cha Simba Day uliopigwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa Dar es Salaam umemalizika kwa ushindi wa mabao

Kikosi kilichopangwa kuikabili Gor Mahia
Leo kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa Dar es Salaam kuikabili Gor Mahia katika mchezo wa kirafiki wa Kimataifa wa kilele cha Tamasha

Fadlu: Nimeridhika na Kikosi nilichonacho
Kocha Mkuu, Fadlu Davids ameweka wazi kuwa ameridhika na kikosi chetu kuelekea kuanza kwa msimu mpya wa mashindano 2025/2026. Fadlu amesema msimu uliopita ulikuwa ni

Mashabiki wajitokeza kwa wingi kwenye mbio za Hisani
Mamia ya mashabiki wamejitokeza kwa wingi kushiriki mbio za Hisani (Fun Run) zenye urefu wa kilomita sita kutoka Coco Beach hadi Sea Clieff na kurudi