Baada ya kuwasili nchini Kocha Mkuu Pablo Franco raia wa Hispania tayari ametambulishwa kwa wachezaji pamoja na benchi la ufundi waliokuwa kambini.
Zoezi la utambulisho limefanywa na Mtendaji Mkuu wa Klabu, Barbara Gonzalez wakati wachezaji wakiwa katika mazoezi ya gym.