Kikosi cha timu yetu ya Wanawake ya Simba Queens leo kimefanya mazoezi ya mwisho kabla ya kukutana na Lady Doves katika mchezo wa kutafuta mshindi wa tatu wa michuano ya Caf Women's Champions League Cecafa Qualifiers 2021 utakaopigwa Uwanja wa Kasarani Septemba 9 saa saba mchana
Simba Queens, CECAFA Samia Women Cup
Mazoezi ya mwisho kabla ya kuivaa Lady Doves FC kesho
8 Sep 2021
Related