Simba Sports Club
Simba Day, TP Mazembe

Kikosi cha kwanza kinaendelea na mazoezi kuelekea Simba day na msimu mpya

8 Sep 2021

Wachezaji wa Simba waliopo kambini Arusha wameendelea na mazoezi leo ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya msimu mpya na mechi ya kirafiki dhidi ya TP Mazembe kwenye Simba Day

Advertisement
Back to homepage
Share this story