Simba Sports Club
CAF Home Slide Latest News

Kakolanya ndani ya Milingoti mitatu dhidi ya Al Merreikh Leo

6 Mar 2021 By simbasc 985 views

Mlinda mlango namba mbili, Beno Kakolanya amepewa dhamana ya kukaa langoni kwenye mchezo wa leo dhidi ya Al Merreikh akichukua nafasi ya Aishi Manula aliyepewa mapumziko ili kuimarisha zaidi afya yake.

Kakolanya amekuwa akitumia vizuri nafasi anayopata kuonyesha uwezo mkubwa kama alivyofanya kwenye michuano ya kombe la Mapinduzi Mwezi Januari nakuibuka mlinda mlango bora.

Advertisement

Kikosi Kamili kilichopangwa

  1. Beno Kakolanya
  2. Shomari Kapombe
  3. Mohamed Hussein
  4. Joash Onyango
  5. Pascal Wawa
  6. Taddeo Lwanga
  7. Clatous Chama
  8. Mzamiru Yassin
  9. Chris Mugalu
  10. Rally Bwalya
  11. Luis Miquissone

Wachezaji wa Akiba

  1. Ally Salim
  2. Erasto Nyoni
  3. Kennedy Juma
  4. Jonas Mkude
  5. Hassan Dilunga
  6. Medie Kagere
  7. Francis Kahata
Back to homepage
Share this story