Simba Sports Club
Mawete , Kipoyi, Joelle

Hiki hapa Kikosi cha Simba Queens kitakachoikabili PVP FC

28 Aug 2021

Kocha Mkuu wa Timu ya Wanawake ya Simba Queens , Hababuu Ally ameweka wazi majina ya wachezaji 11 watakaoshuka dimbani kuikabili PVP FC Buyenzi ya Burundi katika mchezo wetu wa kwanza wa Caf Women's Champions League Cecafa Qualifiers 2021.

Mchezo huo utaanza saa 10 jioni katika Uwanja wa Nyayo ukitanguliwa na mechi ya kwanza ya kundi A kati ya Lady Doves dhidi ya FAD FC.

Kikosi cha Simba Queens kiliwasili hapa Kenya siku nne zilizopita hivyo wachezaji wameshazoea mazingira na wapo tayari kwa michuano hii mikubwa kwa wanawake barani Afrika.

Kikosi Kamili kilivyopangwa

1. Janeth Shija

2. Doto Evarist

3. Fatuma Issa

4. Violeth Nicholas

5. Julieth Singano

6. Danai Bhobho

7. Asha Djafar

8. Joelle Bukuru

Advertisement

9. Mawete Musolo

10. Zena Khamis

11. Ruth Kipoyi

Wachezaji wa akiba

12. Zubeda Mgunda (Gk)

13. Maimuna Khamis

14. Violeth Thadeo

15. Jackline Albert

16. Shelda Boniface

17. Koku Kipanga

18. Silvia Thomas

19. Aisha Juma

Back to homepage
Share this story