Kikosi chetu cha timu ya Wanawake Simba Queens imetolewa mwenye michuano ya Caf Women's Champions League Cecafa Qualifiers 2021 baada ya kufungwa mabao 2-1 dhidi ya wenyeji Vihiga Queens katika mchezo uliopigwa Uwanja wa Nyayo
Cecafa
Alichosema Kocha Hababuu baada ya mechi dhidi ya Vihiga Queens
6 Sep 2021