read
news & Articles

Tupo Kaitaba leo kuikabili Kagera Sugar
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Kaitaba kuikabili Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tutaingia katika mchezo wa

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Kaitaba
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Kaitaba kwa ajili ya mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Kagera Sugar

VIDEO:Kocha Mgunda azungumzia maandalizi ya mchezo dhidi ya Kagera
Kaimu Kocha Mkuu, Juma Mgunda amesema maandalizi kuelekea mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Kagera Sugar yamekamilika. Mgunda amesema utakuwa mchezo

Timu kuondoka mchana kuifuata Kagera Kaitaba
Kesho saa sita mchana kikosi chetu kitasafiri kuelekea mkoani Kagera kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Kagera Sugar utakaopigwa Jumapili.

Highlights: Azam 0-3 Simba
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Uwanja wa Benjamin

Mgunda: Ushindi dhidi ya Azam umetuongezea morali
Kaimu Kocha Mkuu, Juma Mgunda amesema ushindi mnono wa mabao 3-0 tuliopata dhidi Azam FC umetuongezea morali kuelekea kumaliza msimu. Mgunda amesema ushindi huo ni
