read
news & Articles
Tumepoteza Derby ya Kariakoo
Mchezo wetu wa Derby ya Kariakoo dhidi ya Yanga uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa umemalizika kwa kupoteza kwa mabao 5-1. Yanga walipata bao la mapema
Aishi arejea langoni Derby ya Kariakoo
Mlinda mlango, Aishi Manula amerejea langoni katika mchezo wa leo wa Derby ya Kariakoo dhidi ya Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC utakaopigwa
Tupo tayari kwa Derby ya Kariakoo
Leo saa 11 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Mchezo dhidi ya Yanga
Timu yafanya mazoezi ya mwisho Mo Arena
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja Mo Simba Arena kujiandaa na mchezo wa kesho wa Derby ya Kariakoo dhidi ya watani wa jadi
Robertinho: Tunazitaka pointi tatu za Yanga Kesho
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ ameweka wazi kuwa tutaingia kwenye mchezo wa kesho wa Derby ya Kariakoo dhidi ya watani wa jadi ya Yanga kwa
Wachezaji wamepata maandalizi mazuri kuelekea Derby ya Kariakoo Kesho
Mlinzi wa kulia ambaye ni mchezaji mwandamizi ndani ya kikosi chetu, Shomari Kapombe amesema wamepata maandalizi mazuri kuelekea mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya