read
news & Articles

Timu yafanya mazoezi ya mwisho kabla ya kuifuata Dodoma Jiji
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mo Simba Arena kabla ya kesho kuanza safari ya kuelekea jijini Dodoma kwa ajili ya mchezo

VIDEO: Hivi ndivyo ilivyokuwa safari ya Bukoba hadi Dar
Kikosi chetu kimewasili salama jijini Dar es Salaam usiku huu kutoka mkoani Kagera baada ya mchezo wa jana wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya

Timu ya vijana yaichapa Ihefu Azam Complex
Timu ya vijana ya chini ya umri wa miaka 20 imeibuka na ushindi wa goli 2-0 dhidi ya Ihefu katika mchezo wa kwanza wa hatua

Mchezo wetu dhidi ya Dodoma kupigwa Ijumaa
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Dodoma Jiji uliopangwa kufanyika Alhamisi, Mei 16 katika Uwanja wa Jamhuri umesogezwa mbele kwa siku moja

Tumegawana Pointi Kaitaba
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Kagera Sugar uliopigwa Uwanja wa Kaitaba umemalizika kwa sare ya kufungana bao moja. Mshambuliaji Freddy Michael

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Kagera Sugar
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa Kaitaba kuikabili Kagera Sugar kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Kocha Juma Mgunda amefanya
