read
news & Articles
Tumezindua Chaneli ya Whatsapp
Klabu yetu imekuwa ya kwanza katika Ukanda wa Afrika Mashariki kuzindua Chaneli yake ya Whatsapp kwa ajili ya kuwasiliana na mashabiki wetu moja kwa moja.
Timu yaanza mazoezi kujiwinda na ASEC
Kikosi chetu kimerejea mazoezini kujiandaa na mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya ASEC Mimosas kutoka Ivory Coast utakaopigwa Uwanja wa Benjamin
Tumepata tuzo ya mashabiki bora AFL
Mashindano ya African Football League (AFL) yamemalizika leo huku Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini ikitawazwa mabingwa kwa kuifunga Wydad Casablanca ya Morocco mabao 2-0. Michuano
Tumepata sare dhidi ya Namungo
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Namungo FC uliopigwa Uwanja wa Uhuru umemalizika kwa sare ya kufungana bao moja. Tulianza mchezo kwa
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Namungo
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam kuikabili Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Kaimu
Tupo Uhuru leo kuikaribisha Namungo
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa Uhuru kuikabili Namungo FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Mara zote tunapokutana na