read
news & Articles

Tumeanza kwa ushindi Kombe la Shirikisho Afrika
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao moja dhidi ya Bravo Do Marquis kutoka Angola katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi Bravo Leo
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Bravos Do Marquis katika mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi ya

Tunaanza kutupa karata ya kwanza Kombe la Shirikisho Afrika
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Bravos Do Marquis kutoka Angola katika mchezo wa kwanza wa Kombe la

Tumejipanga kuanza vizuri Kombe la Shirikisho
Kocha Mkuu, Fadlu Davids amesema licha ya ubora na ugumu wa wapinzani wetu Bravo Do Marquis kutoka Angola lakini tumejipanga kuhakikisha tunaanza vizuri michuano ya

Tumefanikiwa kupata alama tatu ugenini
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Pamba Jiji uliopigwa katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza umemalizika kwa ushindi wa bao moja.

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Pamba Jiji
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza kuikabili Pamba Jiji katika muendelezo wa Ligi Kuu ya NBC. Kocha