read
news & Articles

VIDEO: Ahmed azungumzia hali ya kikosi kuelekea mchezo dhidi ya CS Sfaxien
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amesema kikosi chetu kipo kwenye hali nzuri kuelekea mchezo wetu wa tatu wa hatua ya makundi ya

Mchezo dhidi ya JKT kupigwa Disemba 24
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imeupangia tarehe mchezo wetu namba 79 dhidi ya Maafande wa JKT Tanzania ambao sasa utapigwa Disemba 14 katika Uwanja

Queens na JKT zagawana pointi KMC Complex
Mchezo wa wetu wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL) dhidi ya JKT Queens uliopigwa Uwanja wa KMC Complex umemalizika kwa sare ya kufungana bao

Ahmed: Tumeweka Viingilio rafiki, Wanasimba tukutane kwa Mkapa
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu Ahmed Ally amesema tumeweka kiingilio kidogo kwenye mchezo dhidi ya CS Sfaxien kwakuwa tunahitaji mashabiki wajitojeze kwa wingi uwanjani.

Kikosi cha Queens kilichopangwa kuikabili JKT Queens
Leo saa 10 jioni Simba Queens itashuka katika Uwanja wa KMC Complex kuikabili JKT Queens katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL). Hiki

Simba Queens ipo tayari kuikabili JKT Kesho
Kocha Mkuu wa Simba Queens, Yussif Basigi amesema kikosi chake kipo kwenye hali nzuri kwa ajili ya mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya Wanawake