read
news & Articles

Tumepoteza ‘Dabi’ ya Kariakoo
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya watani wetu wa jadi Yanga uliopigwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa umemalizika kwa kupoteza kwa bao

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Yanga
Leo saa 11 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Yanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Utakuwa mchezo mgumu tunawaheshimu

Tupo tayari kwa ‘Dabi’ ya Kariakoo
Leo saa 11 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Ni mchezo muhimu kwetu

Mazoezi ya Mwisho kabla ya ‘Dabi’ ya Kariakoo
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mo Simba Arena kujiandaa na mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya watani

Kauli ya Kocha Fadlu kuelekea Derby ya Kariakoo
Kocha Mkuu Fadlu Davids amesema mchezo wa kesho wa Derby dhidi ya Yanga ni muhimu kushinda lakini hatutacheza kwa presha badala yake tutafuta mipango yetu.

Tumeingia Mkataba na Kampuni ya Ujenzi ya Knauf.
Klabu yetu imeingia mkataba wa mwaka mmoja na Kampuni ya kuzalisha bidhaa za ujenzi ya Knauf kutoka nchini Ujerumani. Knauf wanazalisha bidhaa zenye hadhi ya
