read
news & Articles

Kikosi Kitachotuwakilisha dhidi ya Namungo
Leo saa 10:15 Kikosi kitashuka katika uwanja wa KMC Complex kuikabili Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Hiki hapa Kikosi kamili kilichopangwa:

Tupo tayari kwa mchezo dhidi ya Namungo
Tupo tayari kwa mchezo dhidi ya Namungo Kikosi chetu leo saa 10:15 jioni kitashuka katika Uwanja wa KMC Complex kuikabili Namungo FC katika mchezo wa

Timu yafanya mazoezi ya mwisho KMC Complex
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa KMC Complex tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya

Kauli ya Kocha Wilken kuelekea mchezo dhidi ya Namungo
Kocha Msaidizi, Darian Wilken amesema mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Namungo utakuwa mgumu lakini tumejipanga kuhakikisha tunapata ushindi kwenye uwanja

Timu yarejea, yaingia kambini moja kwa moja
Kikosi chetu kimerejea jijini Dar es Salaam kutoka Mbeya baada ya jana kucheza mechi ya Ligi Kuu ya NBC dhidi Tanzania Prisons na kuibuka na

VIDEO: Kocha Fadlu afunguka ushindi dhidi ya Prisons
Kocha Mkuu Fadlu Davids amesema ushindi wa bao moja tuliopata dhidi ya Tanzania Prisons ulikuwa muhimu kwakuwa tulihitaji zaidi kuupata. Kocha Fadlu ameongeza kuwa amefanya
