read
news & Articles

Tunataka kukamilisha mzunguko wa kwanza Ligi kuu tukiwa kileleni
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Liti mkoani Singida kwa ajili ya kuikabili Singida Black Stars kwenye mchezo wa Ligi Kuu

Queens yaendeleza makali yake Mara
Simba Queens imeendeleza ubabe baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Bunda Queens katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake uliopigwa katika

Kikosi kilichopangwa kuikabili Bunda Queens
Simba Queens leo saa 10 jioni itashuka katika Uwanja wa Karume mkoani Mara kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL) dhidi

Fadlu: Tupo tayari kukabiliana Singida Black Stars
Kocha Mkuu Fadlu Davids ameweka wazi kuwa mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Singida Black Stars utakuwa mgumu lakini tumejiandaa vizuri

Timu yafanya mazoezi na kuanza safari kuelekea Singida
Kikosi chetu kimefanya mazoezi asubuhi katika Uwanja wa Mo Simba Arena ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi

Tumechukua alama tatu za JKT Kibabe
Bao la dakika ya mwisho lililofungwa kwa mkwaju wa penati na kiungo mshambuliaji Jean Charles Ahoua limetuwezesha kutupa ushindi dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo