read
news & Articles
Simba yazidi kujinoa ikiisubiri Coastal Union
Kikosi chetu kimeendelea na mazoezi katika Uwanja wa Boko Veterans kujiandaa na mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Coastal Union utakaopigwa dimba
Simba kambini leo kujiandaa na Coastal Union
Kikosi chetu kitaingia kambini moja kwa moja baada ya mazoezi ya leo jioni tayari kukiandaa na mchezo ujao wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya
Hitimana: Tumecheza kwa presha kubwa
Kaimu Kocha Mkuu Hitimana Thierry, amesema katika mchezo wa leo dhidi ya Polisi Tanzania tulicheza kwa presha lakini tunashukuru kwa kupata alama tatu muhimu. Hitimana
Simba yaendeleza ubabe kwa Polisi Tanzania
Kikosi chetu kimeibuka na ushindi wa bao moja dhidi ya Polisi Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa
Kibu, Kagere kuiongoza Simba dhidi ya Polisi Tanzania
Washambuliaji Kibu Denis na Medie Kagere wataongoza idara yetu ya ushambuliaji katika mchezo wa leo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Polisi Tanzania utakaopigwa
Tunarejea kwa Mkapa NBC Premier kwa mara ya kwanza
Baada ya kucheza mechi mbili mikoani kwa mara ya kwanza leo kikosi chetu kinarejea kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Polisi Tanzania katika mchezo wa