read
news & Articles

Ahmed: Tunaitaka Nusu Fainali Shirikisho Afrika
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amesema malengo yetu msimu huu ni kuhakikisha tunavuka hatua ya robo fainali na kutinga nusu fainali. Ahmed

Mchezo dhidi ya Al Masry kupigwa Benjamin Mkapa
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally ameweka wazi kuwa mchezo wetu marudiano wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika ambao umepangwa kupigwa

VIDEO: CEO Zubeda atoa neno kuhusu Simba Wese
Kaimu Mtendaji Mkuu wa Klabu, Zubeda Sakuru amewasisitiza Wanasimba wanaomiliki vyombo vya moto kujaza mafuta Lake Energies kwakuwa watakuwa wanasaidia kupatikana kwa mapato ya klabu.

VIDEO: Ahmed afunguka A-Z Faida za Simba Wese
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amewasisitiza Wanachama wa Klabu wanaomiliki vyombo vya moto kuweka mafuta katika vituo vya Lake Energies kwakuwa kila

VIDEO: Lake Energies yafurahi ushirikiano na Simba
Meneja wa Kampuni ya uuzaji wa mafuta ya petroli, Diesel na Ndege ya Lake Energies, Muharami Mdemi amesema wamefurahi ushirikiano waliongia na klabu wa Simba

Queens yaifuata Gets Program Dodoma
Kikosi cha Simba Queens kimeondoka asubuhi kuelekea jijini Dodoma kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL) dhidi ya Gets Program utakaopigwa