read
news & Articles
Kwaheri Rally Bwalya
Uongozi wa klabu yetu umefikia makubaliano ya kumuuza kiungo mshambuliaji Rally Bwalya kwa timu ambayo hatutaiweka wazi kwa sasa kutokana na matakwa ya kimkataba. Bwalya
Tuzo yamuongezea mzuka Kibu
Kiungo mshambuliaji Kibu Denis, amesema tuzo ya mchezaji bora wa mashabiki mwezi Mei (Emirate Aluminium ACP Simba Fans Player of the Month) imemuongezea morali ya
Matola awamwagia sifa wachezaji ushindi wa Mbeya City
Kaimu Kocha Mkuu, Seleman Matola amewasifu wachezaji kwa kujituma kufanikisha ushindi mnono wa mabao 3-0 tuliopata jana dhidi ya Mbeya City. Matola amesema tulijua mchezo
Tumechukua tatu za Mbeya City
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Mbeya City
Mshambuliaji Kibu Denis ataongoza safu ya ushambuliaji katika mchezo wa wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mbeya City utakaopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa
Phiri: Ndoto yangu imetimia
Nyota wetu mpya Moses Phiri, amefunguka kuwa ndoto yake imetimia baada ya kufanikiwa kutua katika kikosi chetu na kusaini mkataba wa miaka miwili. Phiri raia