read
news & Articles

Nyota 22 kuondoka alfajiri kuifuata Al Masry nchini Misri
Kikosi chetu kitaondoka kesho alfajiri kuelekea nchini Misri tayari kwa mchezo wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Al Masry utakaopigwa Aprili

Tumetinga Robo Fainali CRDB Federation Cup
Kikosi chetu kimefanikiwa kutinga robo fainali ya michuano ya CRDB Federation Cup baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Bigman katika mchezo

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Bigman FC
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa KMC Complex kuikabili Bigman katika mchezo wa hatua ya 16 bora ya michuano ya CRDB

Queens yachukua pointi tatu za Gets Program Dodoma
Simba Queens imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Gets Program katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL) uliopigwa Uwanja wa

Kikosi cha Simba Queens kilichopangwa kuikabili Gets Program
Leo saa 10 jioni tunashuka katika Uwanja wa John Merlins kuikabili Gets Program katika muendelezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL). Nyota wawili Janeth

Ahmed: Tunaitaka Nusu Fainali Shirikisho Afrika
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amesema malengo yetu msimu huu ni kuhakikisha tunavuka hatua ya robo fainali na kutinga nusu fainali. Ahmed
