Mugalu kuongoza mashambulizi dhidi ya Dodoma leo, Luis, Wawa ndani

Mshambuliaji Chris Mugalu amepewa jukumu la kuongoza mashambulizi katika mchezo wa leo wa Ligi Kuu utakaochezwa Uwanja wa Benjamin Mkapa saa moja usiku.

Moja ya sehemu ambayo haitabiriki kwenye kikosi chetu katika kila mchezo ni eneo la ushambuliaji kutokana na Kocha Didier Gomez kupenda kubadili mshambuliaji kutokana na aina ya mechi.

Nyota wawili kiungo mshambuliaji Luis Miquissone na mlinzi wa kati Pascal Wawa wamerejea kikosi cha kwanza baada ya kukosa mchezo uliopita dhidi ya Gwambina FC kutokana na kutumikia adhabu ya kadi tatu za njano.

Kikosi kamili kilivyopangwa

1. Aishi Manula

2. Shomari Kapombe

3. Mohamed Hussein ©

4. Kennedy Juma

5. Pascal Wawa

6. Erasto Nyoni

7. Rally Bwalya

8. Mzamiru Yassin

9. Chris Mugalu

10. Clatous Chama

11. Luis Miquissone

Wachezaji wa Akiba

GK. Beno Kakolanya

02. Ibrahim Ame

03. Jonas Mkude

04. Bernard Morrison

05. Medie Kagere

06. John Bocco

07. Ibrahim Ajib

SHARE :
Facebook
Twitter

One Response

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

GET NEWSLETTER