Mechi yetu dhidi ya Kagera imeahirishwa

Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Kagera Sugar ambao ulipangwa kuchezwa leo katika Uwanja wa Kaitaba umeahirishwa kutokana na wachezaji wetu kuumwa.

Jana Kocha Msaidizi Seleman Matola, aliweka wazi mbele ya waandishi wa habari kuwa robo tatu ya wachezaji wanaumwa kifua, mafua na homa na hali zao bado hazijatengamaa.

Kamishna wa mchezo Nasib Mabruk, amethibitisha kuahirishwa kwa mchezo huo kutokana na kujiridhisha idadi ya wachezaji wanaoumwa ni wengi hivyo mechi haitaweza kuchezwa.

Ugonjwa wa kifua, mafua na homa umeingia kwa kasi nchini huku taarifa zikisema ni mabadiliko ya hali ya hewa.

SHARE :
Facebook
Twitter

2 Responses

  1. I’ve been exploring for a little for any high quality articles or
    weblog posts in this kind of space . Exploring in Yahoo I eventually
    stumbled upon this website. Studying this information So i’m happy to exhibit that I have an incredibly just
    right uncanny feeling I came upon exactly what I needed.
    I so much unquestionably will make sure to don?t fail to remember this site and give
    it a look on a relentless basis.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

GET NEWSLETTER