Kikosi chaanza mazoezi rasmi Mo Simba Arena

Baada ya mapumziko ya wiki moja kikosi kimerejea mazoezini jioni ya leo kwenye viwanja vyetu vya Mo Simba Arena kwa ajili ya kujiweka fiti kujiandaa na mechi zilizo mbele yetu.

Wachezaji walioanza mazoezi ni tisa wakiwa pamoja na kikosi cha vijana chini ya umri wa miaka 20 kutokana na nyota wengi kuitwa kwenye timu zao za Taifa.

Safari hii tumeweka rekodi ya kutoa wachezaji 18 walioitwa kwenye timu zao Taifa kwa pamoja ikiwa haijawahi kutokea kabla.

SHARE :
Facebook
Twitter

3 Responses

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

GET NEWSLETTER