Nyota watatu wameingia fainali ya kinyang’anyiro cha mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi Januari (Emirate Aluminium ACP Simba Fans Player of the Month).
Kiungo mkabaji Sadio Kanoute, kiungo mshambuliaji Pape Ousmane Sakho na mlinzi wa kati Henock Inonga ndiyo waliofanikiwa kuingia fainali ya kinyang’anyiro hicho.
Ndani ya mwezi Januari, Kanoute amecheza mechi saba sawa na Sakho huku Inonga akicheza nane huku wote wakionyesha kiwango bora.
Zoezi la mashabiki kupiga kura litaanza leo saa 12 jioni kupitia tovuti yetu ya www.simbasc.co.tz na litafungwa Jumatano Februari 2 saa 10 jioni.
Mshindi wa jumla atakabidhiwa fedha taslimu Sh 2,000,000 na tuzo kutoka kwa Wadhamini Emirate Aluminium ACP.
Kiungo Jonas Mkude ndiye aliyechukua tuzo hiyo mwezi Desemba huku Bernard Morrison akinyakua Novemba.
66 Responses
Kura tunapigaje
Simba nguvu moja,
Kazi nzuri sana inafanywa na viongozi wa Simba,Siku hizi tumebadilika kabisa kisoka tofauti na tulipotoka,Haya matokeo ya hapa kati ni matokeo tuu ya mchezo wa mpira wa miguu Hivyo isitukatishe tamaa nawasihi waendelee na mipañgo mizuri ya timu yetu.Pia naomba hii website izid kuboreshwa!SIMBA NGUVU MOJA
Mchezaji Bora Sakho
Kanoute
Simba oyeeee
Inonga apewe amejitaidi sana
Mbona sehemu ya kupiga kura sipaon kwan mmebadili mfumo
Tunapiga kura sehemu gani sasa? Huyo tuzo apewe P. O. Sakho ameonesha kiwango kikubwa kwenye Mapinduzi Cup na hata mechi za hivi karibuni
Kura zitaanza kupigwa sa 12 jioni
Kura yang inaend kwa henock inonga baka
Nahitaji kujua napataje kadi ya uwanachama Niko ukerewe Mwanza au ya Equity bank ndio kadi ya uanachama
Sakho
Sakho
Henock Inonga Baka
Hpape ousmane sakho
Sioni sehemu ya kupiga kura
Inonga
Mbn hakuna semehu ya kupigia kura
Sakho
Sakho
Sakho
Sehemu ya kupigia kura haileti option
sakho
Pape Sakho
Sakho my man❤🤟
KANOUTE deserve
Kula tunapigia wapi
Big up Simba sport club
Sakho.
Huu mfumo wa kupiga kura ufanyiwe maboresho mana hauko stable unayumba kiasi cha watu kushindwa kupiga kura
Jamani sion sehemu ya kuchagulia 🤣🤣, kwani Ni wapi humu ndani
29 inonga
He’s the best
Yes
Sakho
Sakho
Inonga
Sackho
Sakho
Simba
#nguvumoja
Nguvu moja
Inonga
Henock inonga
Sehemu gani ya kupiga kura?
Inonga anastahiri
Ndio mchezaji ambaye amezuia wachezaji wa timu pinzani wasionyeshe makali kwenye lango la timu yetu
Mbona sioni sehemu ya kupiga kura
Simba SC is blood team
Inonga baka
Ousmane Sakho
Inonga
diabadou91@gmail.com
Kanoute
Inonga
Inonga is the best
+255787569999
Napigaje kura sasa mbona hakuna vile siku zote inavyokuwa?
Kwani sehem ya kupigia kula ni sehemu gan ase
Sakho
Sasa,kura tunapigaje??? Mbona hii ni tofaut na mwaka jana??? Tuelewesheni jaman
Sakho
Inonga
Sipaoni pakupigia kura
Inonga kwangu ndio player of the month
Inonga mchezaj wa msim mzima