Kiungo mshambuliaji, Saido Ntibazonkiza amechaguliwa mchezaji bora wa...
Read MoreKiungo mshambuliaji, Saido Ntibazonkiza amechaguliwa mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi Januari (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month). Saido ambaye amejiunga na kikosi chetu katika dirisha dogo Desemba amewapiku walinzi Mohamed Hussein na Shomari Kapombe. Katika mwezi Januari, Saido amecheza mechi tatu sawa na dakika 270 akifunga mabao mawili na kusaidia […]
Kocha Msaidizi, Juma Mgunda amesema mchezo wa kesho wa kirafiki dhidi ya Al Hilal utakuwa kipimo kizuri kwetu kuelekea mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Horoya itakayopigwa Februari 11. Mgunda amesema Al Hilal ni moja ya timu bora barani Afrika ambapo itatupa mwanga wa hali ya ubora wa kikosi chetu kuelekea mchezo wa […]
Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu, Ahmed Ally ametangaza viingilio vya mchezo wetu kirafiki wa kimataifa dhidi ya Al Hilal utakaopigwa kesho Uwanja wa Benjamin Mkapa saa 10 jioni ambapo cha chini kitakuwa Sh. 2000. Ahmed amesema viingilio hivyo vinatokana na jana kucheza mechi ya Ligi na watu wamelipa hivyo ili kuwapunguzia majukumu tumeweka kiingilio […]
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Singida Big Stars katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa. Jean Baleke alitupatia bao la kwanza dakika ya nane baada ya kumaliza mpira wa adhabu uliopigwa na Chama. Saido Ntibazonkiza alitupatia bao la pili kwa kichwa dakika ya 20 […]
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ leo atakiongoza kikosi chetu kuikabili Singida Big Stars katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC utakaopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa saa moja usiku. Mchezo uliopita wa Kombe la FA dhidi ya Coastal Union kikosi kilikuwa chini ya kocha msaidizi, Juma Mgunda kutokana na Robertinho kuwa nchini kwao Brazil kushughulikia masuala […]
Kiungo mshambuliaji, Saido Ntibazonkiza amechaguliwa mchezaji bora wa...
Read MoreMeneja Habari na Mawasiliano wa klabu, Ahmed Ally ametangaza...
Read MoreKikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-1...
Read More
![]() ![]() 0 - 3NBC Premier League
N/A Coastal Union FC Vs Simba SC |
![]() ![]() 0 - 5NBC Premier League
N/A Geita Gold FC Vs Simba SC |
![]() ![]() 1 - 1NBC Premier League
N/A Kagera Sugar FC Vs Simba SC |
© 2022 Simba Sports Club | Website Administration by Kinara Technologies