Kocha Msaidizi, Seleman Matola amesema maandalizi ya mchezo wa...
Read MoreKocha Msaidizi, Seleman Matola amesema maandalizi ya mchezo wa kesho wa Kombe la Muungano dhidi ya KVZ yako vizuri na kikosi chetu kipo kwenye hali nzuri. Matola amesema baada ya mchezo wa mwisho wa Ligi timu ilireejea mazoezini moja kwa moja kwahiyo wachezaji wote wapo kwenye hali nzuri kuelekea mchezo wa kesho. Tazama video hii […]
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho jioni katika Uwanja wa nje wa New Amaan Complex kwa ajili ya mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Muungano dhidi ya KVZ utakaopigwa kesho saa 2:30 Usiku. Wachezaji wote 26 ambao tumesafiri nao kuja Zanzibar wameshiriki mazoezi hayo wapo kwenye hali nzuri tayari kwa mchezo wa kesho. Kikosi […]
Kikosi cha wachezaji 26 benchi la ufundi pamoja na Viongozi kitaondoka saa sita mchana kuelekea Zanzibar tayari kwa kushiriki michuano ya Muungano. Michuano ya Muungano imerejea baada ya kupita miaka 20 ambapo sasa itashirikisha timu nne, mbili kutoka Tanzania Bara na nyingine mbili kutoka Zanzibar. Sisi tumepangwa kucheza na KVZ katika mchezo wa nusu fainali […]
Mchezo wetu wa Ligi kuu ya NBC dhidi ya watani wa jadi Yanga umemalizika kwa kupoteza kwa mabao 2-1 katika mchezo uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa. Aziz Ki aliipatia Yanga bao la kwanza dakika ya 18 kwa mkwaju wa penati baada ya yeye mwenyewe kufanyiwa madhambi ndani ya 18. Baada ya bao hilo tuliongeza kasi […]
Kikosi chetu leo saa 11 jioni kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Yanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Kocha Abdelhak Benchikha amefanya mabadiliko ya wachezaji watatu ukilinganisha na kile kilichocheza mechi iliyopita dhidi ya Ihefu FC. Benchikha amewaanzisha Ayoub Lakred, Israel Patrick na Babacar Sarr kuchukua nafasi za Ally Salim, Shomari Kapombe […]
Kocha Msaidizi, Seleman Matola amesema maandalizi ya mchezo wa...
Read MoreKikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho jioni katika Uwanja...
Read More
0 - 3NBC Premier League
N/A Coastal Union FC Vs Simba SC |
0 - 5NBC Premier League
N/A Geita Gold FC Vs Simba SC |
1 - 1NBC Premier League
N/A Kagera Sugar FC Vs Simba SC |
© 2022 Simba Sports Club | Website Administration by Kinara Technologies