Queens yapangwa kundi B michuano ya CECAFA

Timu yetu ya Simba Queens imepangwa kundi B katika michuano ya kufuzu fainali za Afrika kwa Wanawake kutoka Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA). Queens amepata tiketi ya kushiriki michuano hiyo kwa sababu imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL) msimu uliopita. Timu tisa zimepangwa kwenye makundi mawili na bingwa wa michuano […]

Tumezindua jezi zetu za msimu wa 2024/25 Mikumi

Leo tumezindua jezi kwa tutakazotumia katika msimu mpya wa mashindano 2024/25 ambao utaanza mapema mwezi ujao. Uzinduzi wa jezi hizo bora na za kisasa zimefanywa na Mtendaji Mkuu wa Klabu Imani Kajula, Mzee Hassan Dalali na Meneja Habari na Mawasiliano Ahmed Ally katika Mbuga za Wanyama Mikumi. Kama kawaida na utaratibu wetu jezi ya nyumbani […]

King Kiba kutumbuiza Simba Day

Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally, amemtangaza nguli wa Bongo Fleva, Ally Kiba kuwa mtumbuizaji mkuu kwenye Tamasha la Simba Day litakalofanyika katika Uwanja wa Benjamin Mkapa Agosti 3. King Kiba atatoa burudani kwa mara ya pili mfululizo kwenye Tamasha la Simba Day akiwa mtumbuizaji kinara baada ya kufanya hivyo mwaka jana. Ahmed […]

CEO Kajula aongoza safari ya Moro

Mtendaji Mkuu, Imani Kajula amewaongoza Wansimba kwenye safari ya kuelekea mkoani Morogoro kwa ajili ya uzinduzi wa Wiki ya Simba. CEO Kajula ameongozana na Viongozi mbalimbali wa Serikali pamoja na Viongozi kutoka Shirika la Reli Tanzania (TRC). Uzinduzi wa Wiki ya Simba umefanyika katika Stendi ya Mabasi Morogoro ambapo Wanasimba kutokana maeneo mbalimbali ndani ya […]

Rweyemamu Meneja mpya wa timu

Patrick Rweyemamu ndiye Meneja mpya wa timu akichukua nafasi ya Mikael Igendia ambaye mkataba wake umemalizika. Rweyemamu anarejea kwenye nafasi hiyo baada ya kupita mwaka mmoja kutokana na kupewa majukumu mengine kwenye timu ya vijana. Tayari Rweyemamu amejiunga na kikosi nchini Misri kuendelea na maandalizi ya msimu mpya wa mashindano. Kabla ya kubadilishiwa majukumu kwenda […]

LATEST NEWS

FIXTURES

#NGUVUMOJA

Stay up to date with Simba Sports Club

THE CLUB
TEAMS
ACADEMY
FAN ZONE
SHOP

© 2022 Simba Sports Club | Website Administration by Kinara Technologies