Tumetinga Robo Fainali CRDB Federation Cup

Kikosi chetu kimefanikiwa kutinga robo fainali ya michuano ya CRDB Federation Cup baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Bigman katika mchezo uliopigwa Uwanja wa KMC Complex. Joshua Mutale alitupatia bao la kwanza dakika ya 15 kwa shuti la mguu wa kushoto akiwa ndani ya 18 baada ya kumalizia mpira wa krosi […]

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Bigman FC

Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa KMC Complex kuikabili Bigman katika mchezo wa hatua ya 16 bora ya michuano ya CRDB Federation Cup. Pamoja nakuwa Bigman ni timu ya Championship lakini hatutaidharau na tutaingia uwanjani kwa tahadhari zote lengo likiwa kuhakikisha tunavuka na kutinga robo fainali. Kikosi kamili kilichopangwa: Hussein Abel […]

Queens yachukua pointi tatu za Gets Program Dodoma

Simba Queens imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Gets Program katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL) uliopigwa Uwanja wa John Merlins jijini Dodoma. Mchezo huo ulianza kwa kasi ya kawaida huku timu zikishambuliana kwa zamu lakini Queens walifika zaidi langoni mwa Gets na kumiliki sehemu kubwa ya mechi. Jentrix […]

Kikosi cha Simba Queens kilichopangwa kuikabili Gets Program

Leo saa 10 jioni tunashuka katika Uwanja wa John Merlins kuikabili Gets Program katika muendelezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL). Nyota wawili Janeth Shija na Ritticia Nabbosa ambao kwenye mchezo uliopita walianzia benchi leo wameanza kikosi cha kwanza. Hiki hapa kikosi kamili kilichopangwa: Janeth Shija (30), Fatuma Issa (5), Wincate Kaari (29), Violeth […]

Ahmed: Tunaitaka Nusu Fainali Shirikisho Afrika

Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amesema malengo yetu msimu huu ni kuhakikisha tunavuka hatua ya robo fainali na kutinga nusu fainali. Ahmed amesema tumepangwa na mpinzani mgumu ambaye ni Al Masry lakini tumejiandaa kuhakikisha tunavuka kihunzi hicho. Ahmed ameongeza kuwa kutokana na umuhimu wa mchezo tumekuja na kauli mbiu Maalum inayofahamika kuwa […]

LATEST NEWS

FIXTURES

#NGUVUMOJA

Stay up to date with Simba Sports Club

THE CLUB
TEAMS
ACADEMY
FAN ZONE
SHOP

© 2022 Simba Sports Club | Website Administration by Kinara Technologies