Kikosi chetu kimewasili salama mkoani Singida kutoka Kigoma kwa...
Read MoreKikosi chetu kimewasili salama mkoani Singida kutoka Kigoma kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC unaofuata dhidi ya Ihefu FC. Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amesema kwa sasa nguvu zetu tunazielekeza kwenye Ligi Kuu baada ya kutolewa kwenye michuano yote. Ahmed amesema tunahitaji kushikamana katika kipindi hiki nakuwa pamoja ili […]
Mchezo wetu wa hatua ya 16 bora ya CRDB Bank Federation Cup dhidi ya Mashujaa FC uliopigwa Uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma umemalizika kwa kupoteza kwa mikwaju ya penati 6-5. Mchezo huo ambao tulimiliki sehemu kubwa ulimalizika kwa sare ya kufungana bao moja katika muda wa kawaida. Ralient Lusajo aliipatia Mashujaa bao la uongozi […]
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma kuikabili Mashujaa FC katika mchezo wa hatua ya 16 bora ya michuano ya CRDB Bank Federation Cup. Kocha Abdelhak Benchikha amefanya mabadiliko ya wachezaji wanne ukilinganisha na kikosi kilianza dhidi ya Al Ahly kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Benchikha […]
Nyota wote 26 tuliosafiri nao kuja Kigoma kwa ajili ya mchezo wa kesho wa hatua ya 16 bora ya CRDB Bank Federation Cup dhidi ya Mashujaa FC wameshiriki mazoezi ya mwisho jioni yaliyofanyika Uwanja wa Lake Tanganyika. Kikosi kiliwasili Kigoma leo mchana na wachezaji walipata saa chache za kupumzika kabla ya jioni kufanya mazoezi ya […]
Kocha Mkuu, Abdelhak Benchikha amesema tulipopoteza mchezo wa kwanza nyumbani dhidi ya Al Ahly tuliongeza ugumu mechi ya marudiano na ndio maana tumetolewa. Benchikha amesema Al Ahly ni timu bora na ina wachezaji wenye uzoefu ambao wanaweza kubadili mchezo muda wowote na hilo limetugharimu. Benchikha ameongeza kuwa mchezo wa kwanza tulipoteza nafasi nyingi za wazi […]
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja...
Read More
0 - 3NBC Premier League
N/A Coastal Union FC Vs Simba SC |
0 - 5NBC Premier League
N/A Geita Gold FC Vs Simba SC |
1 - 1NBC Premier League
N/A Kagera Sugar FC Vs Simba SC |
© 2022 Simba Sports Club | Website Administration by Kinara Technologies