Tumepoteza Mchezo wa Ngao ya Jamii

Mchezo wetu wa Ngao ya Jamii wa kuashiria kufunguliwa kwa msimu huu wa mashindano 2025/2026 dhidi ya watani wa jadi Yanga uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa umemalizika kwa kupoteza kwa bao moja. Mchezo ulianza kwa kasi ya kawaida huku timu zikicheza kwa mipango lakini tulifika zaidi langoni mwa Yanga na kutengeneza nafasi ambazo hatukuzitumia vizuri. […]

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Yanga

Leo saa 11 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Yanga kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii ikiwa ni ufunguzi wa msimu mpya wa Ligi 2025/2026. Kocha Fadlu Davids amewaanzisha nyota wapya watatu tuliowasajili msimu ambao ni Naby Camara, Rushine De Reuck na Allasane Kante. Hiki hapa kikosi kamili kilichopangwa: Moussa Camara […]

Fadlu: Hatuna Presha na Dabi ya Karikakoo Kesho

Kocha Mkuu, Fadlu Davids ameweka wazi kuwa kuelekea mchezo wa kesho wa Ngao ya Jamii dhidi ya watani wa jadi Yanga hatuna presha na tupo tayari kuhakikisha tunashinda. Fadlu amesema tumekuwa na wakati mzuri katika maandalizi yetu ya kuanza msimu (Pre Season) na tumesajili wachezaji bora ambao tunaamini watatupa matokeo chanya. Fadlu ameongeza utakuwa mchezo […]

Uongozi wakutana na benchi la ufundi na wachezaji

Uongozi wa klabu ukiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Crescentius Magori na na Makamu Mwenyekiti wa Bodi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Klabu, Murtaza Mangungu umekutana na benchi la ufundi na wachezaji kuwaeleza mambo mbalimbali kuelekea msimu mpya wa mashindano 2025/26 Miongoni mwa vitu vilivyojadiliwa ni malengo kuelekea msimu mpya wa mashindano na nini […]

Hizi hapa namba za jezi za wachezaji wetu 2025/2026

Leo ndio kilele cha Simba Day ambapo tunakitambulisha kikosi chetu ambacho tutakitumia katika mashindano yote tutakayoshiriki kwenye msimu mpya wa mashindano 2025/2026. Kuna wachezaji wapya na wageni ambao wameingia kikosini na kila mmoja tayari amechagua namba ya jezi ambayo ataitumia katika msimu mzima wa mashindano. Hizi hapa namba jezi za wachezaji wetu Makipa Moussa Camara […]

LATEST NEWS

FIXTURES

#NGUVUMOJA

Stay up to date with Simba Sports Club

THE CLUB
TEAMS
ACADEMY
FAN ZONE
SHOP

© 2022 Simba Sports Club | Website Administration by Kinara Technologies