Hawa hapa nyota 26 waliopaa kuifuata Al Ahly

Kikosi cha wachezaji 26 kipo safarini kuelekea nchini Misri kupitia Dubai kwa ajili ya mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi dhidi ya Al Ahly utakaopigwa siku ya Ijumaa saa nne usiku kwa saa za nyumbani.

Kocha Didier Gomez amesema wazi kuwa anataka kuweka heshima licha ya kufuzu kwenda robo fainali hivyo ameondoka na kikosi kamili kwa ajili ya mchezo huo.

Kikosi Kamili kilicho safiri

Makipa

Aishi Manula
Beno Kakolanya
Ally Salim

Mabeki

Shomari Kapombe
Joash Onyango
Pascal Wawa
Ibrahim Ame
Erasto Nyoni
Gadiel Michael
Mohamed Hussein
Kennedy Juma
David Kameta

Viungo

Jonas Mkude
Rally Bwalya
Said Ndemla
Mzamiru Yassin
Luis Miquissone
Hassan Dilunga
Clatous Chama
Bernard Morrsion
Francis Kahata
Taddeo Lwanga

Washambuliaji

Medie Kagere
John Bocco
Ibrahim Ajib
Kope Mugalu

SHARE :
Facebook
Twitter

3 Responses

  1. Best of Lucky Simba my Team Mungu awe nanyi Yetu Maombi sala na DuaπŸ™πŸΏπŸ™πŸΏ

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

GET NEWSLETTER