Gomez aishushia Mtibwa ‘kikosi cha mauaji’

Kocha Mkuu, Didier Gomez amepanga kikosi ambacho huwa kinaanza  kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika, katika mchezo wa leo dhidi ya Mtibwa Sugar.

Mchezo huo utapigwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, saa 10 jioni.

Mshambuliaji Medie Kagere ataongoza mashambulizi akisaidiwa na Clatous Chama na Luis Miquissone huku Erasto Nyoni akianza kwenye kiungo cha ulinzi sambamba na Taddeo Lwanga.

Kikosi Kamili kilichopangwa dhidi ya Mtibwa Sugar

1. Aishi Manula

2. Shomari Kapombe

3. Mohamed Hussein ©

4. Joash nyango

5. Pascal Wawa

6. Taddeo Lwanga

7. Clatous Chama

8. Erasto Nyoni

9. Medie Kagere

10. Rally Bwalya

11. Luis Miquissone

Wachezaji wa Akiba

GK. Beno Kakolanya

02. Kennedy Juma

03. Jonas Mkude

04. Hassan Dilunga

05. Chris Mugalu

06. John Bocco

07. Parfect Chikwende

SHARE :
Facebook
Twitter

One Response

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

GET NEWSLETTER