Baada ya makubaliano ya pande mbili tumevunja mkataba na...
Read MoreBaada ya makubaliano ya pande mbili tumevunja mkataba na mlinzi wa kushoto Valentin Nouma raia wa Burkina Faso. Nouma tumemsajili kutoka St. Eloi Lupopo ya DR Congo msimu uliopita kwa mkataba wa miaka mitatu lakini sasa baada ya makubaliano haya hatakuwa sehemu ya kikosi chetu katika msimu wa mashindano 2025/2026. Katika kipindi cha mwaka mmoja […]
Mlinda mlango, Aishi Manula hatakuwa sehemu ya kikosi chetu kuelekea msimu wa Ligi 2025/2026 baada ya kumaliza mkataba wake. Manula alijiunga nasi mwaka 2017 akitokea Azam FC na leo amehitimisha miaka nane ya kudumu kwenye kikosi chetu. Manula ameacha alama ndani ya klabu yetu ambapo alikuwa langoni kwenye kikosi kilichotwaa ubingwa wa Ligi Kuu kwa […]
Ni rasmi kiungo mkabaji, Fabrice Ngoma hatakuwa sehemu ya kikosi chetu kuelekea msimu ujao wa mashindano 2025/2026. Ngoma raia wa DR Congo alijiunga na kikosi chetu kutoka Al Hilal ya Sudan Julai mwaka 2023 kwa mkataba wa miaka miwili. Katika kipindi cha miaka miwili Ngoma amekuwa muhimili katika eneo la kiungo wa ulinzi wa timu […]
Kiungo mshambuliaji, Omari Omari amejiunga kwa mkopo na Mashujaa FC wa mwaka mmoja kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano 2025/2026. Omari alijiunga nasi msimu uliopita akitokea Mashujaa kwa mkataba wa miaka mitatu na sasa amerejea kwa mkopo kwa ‘Wanajeshi hao wa Mpakani’. Omari ni miongoni mwa wachezaji vijana wenye vipaji vikubwa ambao wanategemewa kujakuwa […]
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ambaye ni Rais wa Klabu, Mohamed Dewji ‘Mo’ amewataka mashabiki na wapenzi wa timu yetu kuwa watulivu kipindi hiki wakati tunapoandaa kikosi cha msimu ujao. Mo amesema mashabiki wanajisikia vibaya kutokana na jinsi tulivyomaliza msimu wa Ligi 2024/2025 lakini Uongozi unaendelea kuhakikisha tunakuwa na timu imara zaidi. Mo amesema huu […]
Kiungo mshambuliaji, Omari Omari amejiunga kwa mkopo na Mashujaa...
Read More
![]() ![]() 0 - 3NBC Premier League
N/A Coastal Union FC Vs Simba SC |
![]() ![]() 0 - 5NBC Premier League
N/A Geita Gold FC Vs Simba SC |
![]() ![]() 1 - 1NBC Premier League
N/A Kagera Sugar FC Vs Simba SC |
© 2022 Simba Sports Club | Website Administration by Kinara Technologies