Queens yaendeleza ubabe yaichapa Amani

Kikosi cha Simba Queens kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Amani Queens katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL) uliopigwa Uwanja wa Azam Complex Chamazi. Mchezo ulikuwa mkali huku timu zikishambuliana kwa zamu lakini hakuna aliyeweza kutumia nafasi na kufanya kwenda mapumziko bila kufungana. Kipindi cha pili tuliongeza kasi na […]

Kikosi cha Queens kilichopangwa kuikabili Amani Queens

Timu yetu ya Simba Queens leo saa 10 jioni itashuka katika Uwanja wa Azam Complex Chamazi kuikabili Amani Queens katika muendelezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL). Hiki hapa kikosi kilivyopangwa: Caroline Rufa (28), Ruth Ingosi (20), Diana Mnally (15),Violeth Nicholaus (26), Daniela Ngoyi (22), Ritticia Nabbosa (27), Elizabeth Wambui (4), Vivian Corazone (17), […]

Mgunda: Maandalizi dhidi ya Tabora yamekamilika

Kocha Mkuu Juma Mgunda amesema maandalizi ya mchezo wetu wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tabora United utakaopigwa Uwanja wa Azam Complex saa 12:15 jioni yamekamilika. Mgunda amesema wachezaji wapo kwenye hali nzuri tayari kupambana kwa ajili ya kupata matokeo ya ushindi ingawa haitakuwa mechi rahisi. Mgunda ameongeza tutaingia kwenye mchezo wa […]

Mgunda: Tulicheza kwa kufuata maelekezo

Kocha Mkuu, Juma Mgunda amesema licha ya ushindi wa mabao 2-0 tuliopata dhidi ya Mtibwa Sugar mechi haikuwa rahisi lakini lakini wachezaji walicheza huku wakifuata maelekezo. Mgunda amesema ukiangalia nafasi iliyopo Mtibwa na kiwango wanachoonyesha uwanjani ni vitu viwili tofauti na walitupa mechi ngumu. Mgunda ameongeza kuwa wachezaji walifuata maelekezo aliyowapa na ndio maana sababu […]

VIDEO: Ahmed afunguka baada ya ushindi wa Mtibwa

Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amesema ushindi wa mabao 2-0 tuliopata dhidi Mtibwa Sugar ulikuwa muhimu kwetu kwakuwa unaendelea kurudisha hali ya kujiamini kwa wachezaji, mashabiki hadi viongozi. Ahmed amesema bado malengo yetu ni kumaliza nafasi mbili za juu ili tupate tiketi ya kushiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao. […]

LATEST NEWS

FIXTURES

#NGUVUMOJA

Stay up to date with Simba Sports Club

THE CLUB
TEAMS
ACADEMY
FAN ZONE
SHOP

© 2022 Simba Sports Club | Website Administration by Kinara Technologies