VIDEO: Dkt. Kagabo aelezea hali ya majeruhi kikosini

Daktari wa timu, Edwin Kagabo amesema wachezaji wote waliokuwa majeruhi wamerejea kikosini na wapo tayari kwa ajili ya mechi zilizopo mbele yetu.

Mlinda mlango Moussa Camara, walinzi Valentine Nouma na Che Fondoh Malone pamoja na kiungo Mzamiru Yassin ambao walikuwa majeruhi wamerejea na wanafanya mazoezi pamoja na wenzao.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Dkt. Kagabo amezungumzia hali halisi ya kikosi mpaka sasa.

SHARE :
Facebook
Twitter

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

GET NEWSLETTER