VIDEO: Awesu afunguka baada ya mazoezi ya kwanza Misri

Kiungo mshambuliaji Awesu Awesu amesema ndoto yake ya siku nyingi ya kuchezea Simba imetimia rasmi leo na ni jambo la furaha kwake.

Awesu amesema baada ya kujiunga nasi kilichobaki ni kufanya kazi kwa bidii ili kuisaidia timu kufanya vizuri na kufikia malengo.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Awesu amezungumzia anavyouona msimu mpya utakavyokuwa.

SHARE :
Facebook
Twitter

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

GET NEWSLETTER