Nyota wetu wang’ara Tuzo Mapinduzi Cup

Michuano ya Mapinduzi mwaka 2022 imefikia tamati leo ambaoo tumetawazwa mabingwa baada ya kuichapa Azam FC bao moja katika Uwanja wa Amaan.

Kiungo mshambuliaji, Pape Ousmane Sakho amechaguliwa mchezaji bora wa mashindo baada ya kuonyesha kiwango safi.

Medie Kagere amekuwa mfungaji bora wa mashindano baada ya kufunga mabao mawili sawa na wengine wawili lakini yeye akiwa amecheza dakika chache.

Mlinda mlango Aishi Manula amechaguliwa kipa bora wa mashindano baada ya kutoruhusu bao hata moja katika mechi zote za michuano hiyo!

SHARE :
Facebook
Twitter

One Response

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

GET NEWSLETTER