read
news & Articles

Timu yawasili salama Libya
Kikosi chetu kimewasili salama nchini Libya tayari kwa mchezo wa kwanza wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Al Ahly Tripoli utakaopigwa Jumapili Septemba 15.

Hiki hapa kikosi kitachosafiri kuelekea Libya
Kikosi chetu kitaondoka Jumatano Alfajiri kuelekea Libya tayari kwa mchezo wa kwanza wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Al Ahly Tripoli utakaopigwa Septemba 15.

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Mo Arena
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mo Simba Arena kabla ya kesho kuanza safari ya kuelekea Libya tayari kwa mchezo wa Kombe

Timu kuondoka Jumatano kuelekea Libya
Kikosi chetu kitaondoka Jumatano Alfajiri kuelekea Libya tayari kwa mchezo wa kwanza wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Al Ahly Tripoli utakaopigwa Septemba 15.

TAARIFA KWA UMMA
Uongozi wa klabu ya Simba unautaarifu Umma kuwa Kocha Juma Ramadhani Mgunda hatokuwa sehemu ya benchi la ufundi la Simba Queens baada ya mkataba wake

Tumepata ushindi dhidi ya JKT Tanzania
Kikosi chetu kimeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo wa kirafiki wa kimazoezi uliopigwa katika Uwanja wa KMC Complex. Mchezo
