read
news & Articles

Queens kuivaa Ceasiaa Samora Kesho
Kikosi chetu cha Simba Queens kesho kitashuka katika Uwanja wa Samora mkoani Iringa kuikabili Ceasiaa Queens katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL).

Timu yarejea Dar wachezaji wapewa mapumziko
Kikosi chetu kimerejea jijini Dar es Salaam kutoka mkoani Kigoma baada ya jana kuibuka na ushindi wa bao moja dhidi ya Mashujaa katika mchezo wa

Tumechukua alama tatu Lake Tanganyika
Tumefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao moja dhidi ya Mashujaa FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma.

Kikosi kitachotuwakilisha dhidi ya Mashujaa
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa Lake Tanganyika kuikabili Mashujaa FC katika muendelezo wa Ligi Kuu ya NBC. Kocha Fadlu Davids

Leo tupo Lake Tanganyika kuikabili Mashujaa FC
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa Lake Tanganyika kuikabili Mashujaa FC katika muendelezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tutaingia katika mchezo

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Lake Tanganyika
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Lake Tanganyika Kigoma kwa ajili ya mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya