Kikosi chetu kimefanikiwa kutinga Nusu Fainali ya CRDB Federation Cup baada ya kuifunga Mbeya City mabao 3-1 katika mchezo uliopigwa Uwanja wa KMC Complex.
Tazama hapa kuona jinsi mabao hayo yalivyofungwa na mchezo mzima ulivyokuwa.
Kikosi chetu kimefanikiwa kutinga Nusu Fainali ya CRDB Federation Cup baada ya kuifunga Mbeya City mabao 3-1 katika mchezo uliopigwa Uwanja wa KMC Complex.
Tazama hapa kuona jinsi mabao hayo yalivyofungwa na mchezo mzima ulivyokuwa.