Kiungo mshambuliaji, Rally Bwalya amesema alishangilia kwa staili ya ishara ya kuonyesha saa ya mkononi akimaanisha imefika hatua ya kupata mafanikio kuanzia kwenye Ligi za ndani hadi Ligi ya Mabingwa Afrika.
Bwalya alifunga bao hilo ambalo lilikuwa la pili…
Kocha Mkuu, Didier Gomez ameweka wazi sababu ya ushindi wa mabao 5-0 tuliopata dhidi ya Mtibwa Sugar kuwa ni kucheza kwa nidhamu na kujituma.
Licha ya kufahamu Mtibwa haipo kwenye kiwango bora lakini Kocha Gomez aliwataka wachezaji kutowadharau na…
Kikosi chetu kimeonyesha dhamira ya kutaka Ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom baada ya kuichakaza bila huruma Mtibwa Sugar mabao 5-0.
Katika mchezo huo uliopigwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam ambapo ushindi huo unatafanya kupanda…
Kocha Mkuu, Didier Gomez amepanga kikosi ambacho huwa kinaanza kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika, katika mchezo wa leo dhidi ya Mtibwa Sugar.
Mchezo huo utapigwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, saa 10 jioni.
Mshambuliaji…
Baada ya kumaliza hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, leo tunarejea kwenye Ligi Kuu ya Vodacom ambapo tutashuka dimbani kuikabili Mtibwa Sugar katika Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Mchezo wa leo utakuwa ni wa kumaliza ubishi kutokana na…
Kuelekea mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kocha Msaidizi Selemani Matola amesema kikosi kipo kamili hakuna mchezaji atakayekosekana kutokana na kuwa majeruhi au sababu nyingine.
Matola amesema wachezaji wote wapo kambini na wamefanya mazoezi hivyo…
Baada ya kumaliza mchezo wa mwisho wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi, hatimaye kikosi chetu kimeingia kambini leo kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Mtibwa Sugar.
Mchezo huo utakapigwa Jumatano Aprili 14, katika Uwanja wa…
Mlinzi wa kati Joash Onyango ameweka wazi kuwa kitu pekee kilichopo vichwani mwa wachezaji kwa sasa ni kutetea taji la Ligi Kuu ya Vodacom na kushinda mchezo wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Onyango ambaye ni mmoja…
Muda mfupi baada ya timu kurejea nchini kutoka Misri ilipokuwa na mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika jana dhidi ya Al Ahly Kocha Mkuu, Didier Gomez amesema sasa anaelekeza nguvu kwenye Ligi Kuu…