Kikosi kilichosafiri kuifuata Gaborone United nchini Botswana

Leo asubuhi kikosi chetu kimeondoka kuelekea nchini Botswana kwa ajili ya mchezo wa hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United utakaopigwa Jumamosi, Septemba 20.

Kikosi kimeondoka na wachezaji 22 benchi la ufundi pamoja na baadhi ya watu kutoka kwenye Menejimeti.

Hiki hapa kikosi kamili kilichosafiri:

Makipa:

Moussa Camara, Yakoub Suleiman na Alexander Erasto

Walinzi

Shomari Kapombe, Anthony Mligo,Rushine De Reuck, Karabou Chamou, Wilson Nangu na Naby Camara.

Viungo

Allasane Kante, Kibu Denis, Elie Mpanzu, Ladaki Chasambi, Mzamiru Yassin, Neo Maema, Joshua Mutale, Jean Charles Ahoua, Morice Abraham na Daudi Semfuko

Washambuliaji

Steven Mukwala, Seleman Mwalimu na Jonathan Sowah.

SHARE :
Facebook
Twitter

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

GET NEWSLETTER