VIDEO: Mazoezi ya Mwisho Uwanja wa Manispaa ya Berkane

Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Manispaa ya Berkane tayari kwa mchezo wa kesho wa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane utakaopigwa saa nne usiku.

Tazama video hii hadi mwisho kuona jinsi mazoezi hayo yalivyokuwa.

SHARE :
Facebook
Twitter

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

GET NEWSLETTER