Nusu Fainali ya Kwanza ya CAFCC kupigwa Aprili 20 kwa Mkapa

Mchezo wetu wa nusu fainali ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch ya Afrika Kusini utapigwa Aprili 20.

Stellenbosch wamepata nafasi hiyo baada ya kufanikiwa kuitoa Zamalekh kwa kuifunga bao moja

Huu utakuwa mchezo muhimu kwetu baada ya kupita miaka 32 kucheza hatua ya nusu fainali,

 

SHARE :
Facebook
Twitter

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

GET NEWSLETTER