VIDEO: Ahmed ataja sababu ya Bonanza la Ubaya Ubwela’

Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amesema lengo lakuja na Bonanza ni kuwafanya Wanasimba kuwa na upendo, umoja na mshikamano.

Ahmed amesema lengo la viongozi ni kuwafanya Wanasimba wote kuwa wamoja na kuwaunganisha.

Tazama video hii hadi mwisho Ahmed amezungumza mengi kuhusu Bonanza kwa ujumla.

SHARE :
Facebook
Twitter

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

GET NEWSLETTER