read

news & Articles

Timu yaanza mazoezi kujiwinda na ASEC

Kikosi chetu kimerejea mazoezini kujiandaa na mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya ASEC Mimosas kutoka Ivory Coast utakaopigwa Uwanja wa Benjamin

Tumepata tuzo ya mashabiki bora AFL

Mashindano ya African Football League (AFL) yamemalizika leo huku Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini ikitawazwa mabingwa kwa kuifunga Wydad Casablanca ya Morocco mabao 2-0. Michuano

Tumepata sare dhidi ya Namungo

Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Namungo FC uliopigwa Uwanja wa Uhuru umemalizika kwa sare ya kufungana bao moja. Tulianza mchezo kwa

Tupo Uhuru leo kuikaribisha Namungo

Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa Uhuru kuikabili Namungo FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Mara zote tunapokutana na

Matola asisitiza mshikamano Simba

Kocha Msaidizi, Seleman Matola amewaomba Wanasimba kurejesha ushirikiano na kuendelea kuipa sapoti timu baada ya matokeo mabaya tuliyopata kwenye mchezo wetu uliopita. Matola amesema hakuna

subscribe

sign up for our newsletter:

Get news straight from Simba SC