read

news & Articles

Wachezaji wasiojituma watapigwa ‘Thank You’

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Salim Abdallah ‘Try Again’ ameweka wazi kuwa wachezaji ambao hawataonyesha uwezo wao na kujituma uwanjani hawatuvumiliwa hivyo wataachwa. Try Again

Tumezindua Chaneli ya Whatsapp

Klabu yetu imekuwa ya kwanza katika Ukanda wa Afrika Mashariki kuzindua Chaneli yake ya Whatsapp kwa ajili ya kuwasiliana na mashabiki wetu moja kwa moja.

Timu yaanza mazoezi kujiwinda na ASEC

Kikosi chetu kimerejea mazoezini kujiandaa na mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya ASEC Mimosas kutoka Ivory Coast utakaopigwa Uwanja wa Benjamin

Tumepata tuzo ya mashabiki bora AFL

Mashindano ya African Football League (AFL) yamemalizika leo huku Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini ikitawazwa mabingwa kwa kuifunga Wydad Casablanca ya Morocco mabao 2-0. Michuano

subscribe

sign up for our newsletter:

Get news straight from Simba SC