read
news & Articles
VIDEO: Ahmed asema Michuano ya Mapinduzi imetusaidia
Licha ya kushindwa kutwaa ubingwa Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu Ahmed Ally amesema michuano ya Kombe la Mapinduzi imetusaidia sehemu kubwa. Ahmed amesema kocha
Fabrice Ngoma Mchezaji bora Kombe la Mapinduzi
Kiungo mkabaji Fabrice Ngoma amechaguliwa mchezaji bora wa michuano ya Kombe la Mapinduzi mwaka 2024. Ngoma ameonyesha kiwango bora katika mechi zote sita za Kombe
Tumepoteza Mchezo wa Fainali
Mchezo wetu wa fainali ya Kombe la Mapinduzi umemalizika na tumepoteza kwa kufungwa bao moja na Mlandege FC katika mtanange uliopigwa Uwanja wa New Amaan
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Mlandege
Kikosi chetu leo saa 2:15 usiku kitashuka katika Uwanja wa New Amaan Complex kuikabili Mlandege katika mchezo wa fainali ya Kombe la Mapinduzi. Kocha Mkuu,
Kispika chatua Zanzibar kunogesha fainali ya Mapinduzi
Kikundi cha hamasa kutoka jijini Dar es Salaam chini ya King Faida kimewasili Visiwani Zanzibar kwa ajili ya kunogesha fainali ya Kombe la Mapinduzi itakayofanyika
Hii hapa safari yetu iliyotufikisha fainali ya Kombe la Mapinduzi
Kikosi chetu leo saa 2:15 usiku kitashuka katika Uwanja wa New Amaan Complex kuikabili Mlandege katika mchezo wa fainali ya michuano ya Mapinduzi. Mpaka kufikia