read
news & Articles
Leo Tupo Jamhuri kuikabili Tanzania Prisons
Kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro kuikabili Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC ambao utaanza saa 10 jioni. Tunaingia
Kikosi Kamili chaondoka kuelekea Morogoro
Kikosi chetu kimeondoka kuelekea mkoani Morogoro tayari kwa mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tanzania Prisons utakaopigwa Uwanja wa Jamhuri saa
Kauli ya Kocha Matola kuelekea mchezo dhidi ya Prisons
Kocha Msaidizi, Seleman Matola amesema mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tanzania Prisons utakuwa mgumu lakini tumejipanga kuhakikisha tunapata matokeo chanya.
Timu yaingia kambini kujiandaa na mchezo dhidi ya Tanzania Prisons
Kikosi chetu kimeanza mazoezi pamoja na kuingia kambini kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tanzania Prisons utakaopigwa Jumatano katika Uwanja Jamhuri
Rais Samia atutumia Salam za Pongezi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan ametupongeza kwa kufanikiwa kufuzu hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada
Tunamshukuru Rais Samia kwa zawadi ya ‘Bao la Mama’
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Salim Abdallah ‘Try Again’ amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa milioni 30