read
news & Articles

Simba yaunyemelea ubingwa 2020/21 kwa asilimia 99
Ushindi wa mabao 2-0 tuliopata dhidi ya KMC leo, umetufanya tuzidi kuukaribia ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Msimu wa 2020/21 kwa asilimia

Mugalu kuongoza mashambulizi dhidi KMC leo
Mshambuliaji Chris Mugalu amepangwa kuongoza mashambulizi katika mchezo wa leo wa ligi kuu dhidi ya KMC utakaofanyika Uwanja wa Benjamin Mkapa saa moja usiku. Katika

Tunataka ubingwa wetu tu kwa KMC leo
Kikosi chetu leo kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa saa moja usiku katika mchezo wa ligi kuu dhidi ya KMC kwa lengo moja tu la

Simba macho yote kwa KMC
Baada ya kupoteza mchezo uliopita sasa nguvu zote tumezielekeza katika mchezo wa kesho wa Ligi Kuu dhidi ya KMC utakaopigwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa

Simba kambini kuivutia Kasi KMC
Kikosi chetu kimeingia kambini kujiandaa na mchezo wa ligi kuu dhidi ya KMC utakaopigwa Jumatano Julai 7, saa moja usiku katika Uwanja wa Benjamin Mkapa.

Gomes: Tumeumia, tumewaangusha mashabiki wetu
Baada ya kupoteza mchezo wa jana dhidi ya Yanga, Kocha Mkuu Didier Gomes amesema matokeo hayo yametuumiza kwani tumewaangusha mashabiki wetu ambao walikuwa na matumaini